Sunday, July 20, 2014

BARAZA LA HABARI LAMUAGA BALOZI WA NORWAY

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania Ndugu Kajubi Mukajanga akizungumza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari alimsifia Balozi wa Norway kwakuwa rafiki wa kweli kwa Baraza la Habari la Tanzania.

Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akizungumza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Bakari Machumu akiwakilisha Chama Cha Wamiliki wa Vyombo vya Habari na Jukwaa la Wahariri wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Mshehereshaji wa shughuli hiyo ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Dk.Ayub Rioba .

Wasanii wa Dar Creators Group wakitumbuiza wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach,Julai 18,2014.

Meneja wa Rasilimali Watu Baraza la Habari Tanzania Ziada Kilobo akimsaidia Balozi kufunga kilemba ikiwa sehemu ya zawadi ya vazi la asili la Kiafrika alilozawadiwa Balozi,kulia ni Meneja Uthibiti na Viwango Pili Mtambalike wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania Ndugu Kajubi Mukajanga wakiangalia picha ya Balozi ambayo alipewa kama zawadi wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akizungumzwa wakati wa tafrija ya kumuaga iliyoandaliwa na Baraza la Habari Tanzania kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.
Balozi pia amesifia Baraza a Habari kwa kukuza weledi na maadili katika tansnia ya Habari.

Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Profesa Ruth Meena wakati wa tafrija ya kumuaga Balozi huyo Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Rais wa Bodi ya Baraza la Habari Tanzania Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Baraza la Habari Rose Haji wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Dk.Ayub Rioba(kulia) akizungumza na Mhariri wa Baraza la Habari Tanzania Hamisi Mzee wakati wa tafrija hiyo ya kumuaga Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

Balozi wa Norway nchini Mheshmiwa Balozi Ingunn Klepsvik akiwa kwenye picha ya pamoja na Watumishi wa Baraza la Habari,Wahariri na wadau wengine wa Habari kwenye Hotel ya Ledger Plaza Bahari Beach.

No comments:

Post a Comment