Saturday, April 4, 2015

REGNALD MENGI AFUNGA NDOA NA JACKLINE NTUYABALIWA

 

Germany France Plane Crash 
Ndoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jackline Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2014.
Mengi na mke wake Jackline


Germany France Plane Crash



Hii ndoa pia ilishuhudiwa na watoto wao wawili mapacha kama wanavyoonekana kwenye picha pamoja na marafiki wengine wa familia pamoja na ndugu ambao idadi yao inafikia 50.

Wakifunga ndoa harusi hii ambayo imefungwa kwenye ardhi ya nchi ya Mauritius kwenye mwisho wa mwezi March 2015.
CHANZO BONGO 5

No comments:

Post a Comment