MITINDO

 uwa kitu kizuri kila mtu anakitaka haswa mafashionista utakuta wamevaa nguo zinafanana ila uzuri kila mtu anastyle kivyake na kuipa nguo muonekano tofauti tofauti tofauti.

Hii ni rahisi pia kukupa idea uvaeje skirt hizi utokelezee


  itscamilleco.com2013112401-800x1181[1] 
nc style
  blogger-image--159240316[1] 
hapo je!
05-IMG_7816[1]
 

pics credit jadore,cammile tries to bloh & pinterest
 NGAALIZO:Huwezi vaa sneakers na Bodycon dress kama a night wear msituchoshe
superga
 img_0188

RiRi nae yumo kwa hili namsuport.
shana-rosa-asos-jerseys~look-index-middle

 modedamour-sneakers-1 
yes casually waweza vaa sneakers na suit
 OOTD - Casual outfit with red pants, camo jacket and DIY studded 
 mango-white-zara-shirt-blouses~look-index-middle
hii yaitwa DUNGAREE aka Kanyela mumo
faea58347d8ebb1a5bb4c0c399637dbd
Rita Ora nae ametupia na short skirt na fur faux cardigan
 zara-shirt-blouses-yurban-skirts~look-index-middle 
 36b77b25c5fb01dfdc97b12260b62c36 Dig this : Max skirt yapendeza sana ukivalia raba pia




kijigaun kifupi

pics credit :justine timberlake
DESIGNER WA MRISHO MPOTO APATA MKATABA MNONO

Jackson Gumbala ni moja kati ya wabunifu wanaofanya vizuri katika upande wa mavazi ya kiasili na kawaida kama vile amemvalisha mwanamuziki Mrisho Mpoto na timu yake katika kichupa chake cha ‘Waite’ na anawavalisha baadhi ya watu maarufu hapa Tanzania kama Millard Ayo, Ma-miss University nk.
Kwa sasa mbunifu huyo amepata dili na Ubalozi wa Rwanda kwa ajili ya kuwavalisha katika moja ya sherehe yao inayotarajia kufanyika hivi karibuni hapa jijini Dar es Salaam, Tanzania hivyo Jackson alisema
“Ni kweli nimepata dili la kuwavalisha staff nzima ya Ubalozi wa Rwanda ambalo ni jambo kubwa kwa wao kuniita na kufanya nao kazi kutokana na kuvutiwa kwangu katika kazi zinazoonekana machoni kwa watu.”
 

No comments:

Post a Comment