BURUDANI


WEUSI WAFUNIKA KWENYE UZINDUZI WA NYIMBO YAO MPYA  YA GERE!

10277424_662669140479016_1600726277589963224_n
Jana (April 30), Kampuni ya Weusi ilizindua rasmi video ya wimbo wao ‘Gere’ pale Mediteraneo Hotel, Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wengi maarufu na mashabiki.
Uzinduzi huo ulifunguliwa kwa Live Show toka kwa wasanii waliowahi kushiriki Tusker Project Fame, Hisia na Damian Soul.
Hisia ndiye aliyeanza kufanya Live Show kwa gitaa na kuwapa zawadi watu waliohudhuria uzinduzi huo kwa kuimba wimbo ambao bado hajaurekodi unaioitwa ‘Give Me a Call’ na kuwataka watu wampe maoni kama aende akaurekodi au aachane nao.


10253993_662678693811394_7359586962180168043_n 

10253993_662678697144727_5381072435356569567_n 

10268653_662672313812032_1062622247364776763_n10268653_662672310478699_6804280233915992683_n
10268653_662672317145365_6847470445273466327_n 

10268653_662672320478698_134533382850791562_n 

10277424_662669137145683_980579804878921383_n 

10268653_662672323812031_3630405227447039170_n
         10277424_662669140479016_1600726277589963224_n 10277424_662669143812349_3323769357068607271_n 
  10277424_662669147145682_6965592353255682108_n 10277424_662669150479015_4785120269760683521_n 
  10297562_662661877146409_3381426942619983885_n 10297562_662661880479742_7012643560742040953_n 
  10297562_662661883813075_4946341691960616528_n 10297562_662661887146408_2803195167517528975_n 
  10297562_662661890479741_3855890811192679040_n


Unaweza Kumuita Babolyn Beezy au Kabaisa ila Jina aliloanza nalo Ni Mr. Blue. 

Katika Kusherehekea sikukuu ya Pasaka aliweza kutoa Burudani ya Nguvu kwa wapenzi wake wa mji wa Lindi ndani ya Hoteli ya Lindi Oceanic Hotel. Mr. Blue aliweza Kukonga Nyoyo ya Mashabiki wake kwa Kupiga Hits zake zote alizokuwanazo nakufanya Wapenzi wake hao Kupiga Shangwe za nguvu wakati wote alipokuwa Stejini.
Show hiyo ilisimamiwa kwa Udhamini wa Wajinga Team, Staa wa Bongo Muvi kwa jina unaweza Muita Barafu alikuwepo na aliweza kupiga Picha na Mashabiki wake kadhaa kwenye Red Capet Kabla ya Show Hiyo kuanza. Mr. Blue hakuwepo peke yake alikuwa na Msanii Bonge la Nyau ambaye naye alitoa burudani Safi kabisa kwa Wapenzi hao waliofurika katika Ukumbi wa Hoteli hiyo.
Ila Show hiyo iliingia Dosari Pale walipopanda Stejini wadada waliotambulishwa kama Kanga Moko kwa mashabiki hao kufungua simu zao na Kuanza Kurekodi show hiyo ambacho kitendo hicho kilipingwa na waandaaji wa Show hiyo. Paparazi wetu aliweza kupata Picha ya Kutembea ya Show hiyo lakini kwa sababu za Kimaadili hatutaweza kuiweka Hadharani na aliweza kutishiwa kuvunjiwa Camera yake endapo angeendelea Kurekodi Show Hiyo ambayo wadada hao walikuwa wakicheza Uchi bila ya aibu yoyote Ile.


 Bafaru wa bongo Muvi akisebeneka na toto kutoka Lindi, wakati wa Show ya Mr.Blue iliyofanyika Katika Hoteli ya Lindi Oceanic
 Bonge lanyau Akitoa burudani Ndani ya Ukumbi wa Lindi Oceanic hotel katika Kusherehekea Sikukuu ya Pasaka
 Nasoz Msanii Kutoka Lindi naye aliwapa Burudani mashabiki wake waliojitokeza katika Show hiyo
Chaku Master Msanii Kutoka Lindi akitoa burudani kwa mashabiki waliohudhuria show hiyo Usiku wa Pasaka.

Hizi ni baadhi ya Picha za Red Carpet Kabla ya Show Kuanza:









 (Photo’s) Yaliyojiri pale CLUB 71 KIBO COMPLEX Tegeta kwenye show ya IZZO B (@Izzo_bizness)

  3 4 5 6 7 8 9 10 11 12

PICHA Yaliyojiri kwenye USIKU WA MASTAA (UZINDUZI WA THE PLAYLIST) MARCH 7 CLUB INFINITY MIKOCHENI RESORT CENTRE





 
   
 









 
   







YALIYOTOKEA KWENYE SHOW YA   OMMY DIMPOZI (@OmmyDimpoz2) kule LONDON







 
   
  IMG-20140305-WA0008
Picha hizi kwa hisani ya http://www.gongamx.com

  NYUMBANI LOUNGE kwenye show ya JIDE (@JideJaydee) na GRACE (@GraceMatata)

1
Usiku wa kuamkia leo ndani ya mgahawa wa kimataifa Nyumbani Lounge kulikuwa na show kali sana kati ya Lady Jay Dee akiwa na Machozi Band pamoja na Grace Matata. Watu walikuwa ani wengi sana na kila mmoja alifurahia show hii nzuri. Enjoy picha hizi nilizozipiga ili niwaonyeshe wadau wangu.
  3 4 
  5 
  7 8 
  9 10 
 
 
 
 
 
 
  17 















No comments:

Post a Comment