Monday, June 8, 2015

PICHA ZA MAANDALIZI YA VIDEO MPYA YA ALLY KIBA SOUTH AFRIKA



Ali Kiba staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya ngoma ambazo mtaani wanaisubiri video yake kwa hamu sana.

Nakumbuka Abdu Kiba aliwahi kusema kwamba kazi ya video ya wimbo huo itafanywa Afrika Kusini… hizi ni dalili kwamba video mpya ya Ali Kiba itakuwa on air muda wowote japo katika post zake hajasema video anayoshoot ni ya wimbo gani.

PICHAZ ambazo Ali Kiba ameanza kuzishare mfululizo kwenye ukurasa wake @Facebook ni hizi.



Hii ilikuwa post ya kwanza aliyoweka Ali Kiba kabla ya kuanza kupost pichaz hizo.














 

No comments:

Post a Comment