Monday, May 26, 2014

UMESHASIKIA HII!!! "TUZO ZA WATU" HAPA TANZANIA!! PIGA KURA SASA


tuzo 2

Tuzo za Watu ni tuzo mpya Tanzania zinazoendeshawa na Bongo 5 Media Group ambapo mwaka huu imeweka vipengele vya kushindanisha 11na kila kipengere kuna washindani 5. Utaratibu ni kwamba kura zitapigwa kuwapata washiriki 3 kila kipengele na ndio watakaoshandanishwa siku ya mwisho na wale wengine 2 wataalikwa kama wageni wa heshima siku ya kutoa tuzo hizo.

Vipengele na wasanii/stars wanaoshindanishwa ni hivi hapa

1.MTANGAZAJI WA REDIO ANAYEPENDWA
1. Vanessa Mdee – Choice FM
2. Millard Ayo – Clouds FM
3. Hamis Mandi aka B12 – Clouds FM
4. Mariam Kitosi – Times FM
5.Ergon Elly – Mbeya Highlands FM

2. KIPINDI CHA REDIO KINACHOPENDWA
1. The Hitlist – Choice FM
2. Xxl – Clouds FM
3. Amplifaya – Clouds FM
4. Hatua Tatu – Times FM
5. Power Breakfast- Clouds FM

3. MTANGAZAJI WA RUNINGA ANAYEPENDWA
1. Salama Jabir – EATV
2. Sam Misago – EATV
3. Zamaradi Mketema- Clouds TV
4. Salim Kikeke – BBC Swahili
5. Gondwin Gondwe – ITV

4. KIPINDI CHA RUNINGA KINACHOPENDWA
1. Friday Night Live – EATV
2. Mkasi – EATV
3. Planet Bongo – EATV
4. Uswazi – EATV
5. Take One – Clouds TV
5. MWANAMICHEZO ANAYEPENDWA
1. Juma Kaseja – Yanga
2. Mrisho Ngassa – Yanga
3. Mbwana Samatta – TP Mazembe
4. Ramadhan Singano – Simba SC
5. Francis Cheka
6. MUONGOZAJI WA VIDEO ZA MUZIKI ZINAZOPENDWA
1. Nisher
2. Adam Juma
3. Nick Dizzo
4. Mecky Kaloka
5. Jerry Mushala
7. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIUME
1. My Number – Diamond
2. Jikubali – Ben Pol
3. Mirror – Baby
4. Love Me – Izzo Bizness f/ Barnaba & Shaa
5. Muziki Gani – Nay wa Mitego f/ Diamond

8. VIDEO YA MUZIKI INAYOPENDWA YA MWANAMUZIKI WA KIKE
1. Amani ya Moyo – Feza Kessy
2. Closer – Vanessa Mdee
3. Sugua Gaga – Shaa
4. Yahaya – Lady Jaydee
5. Nakomaa na JIJI – Shilole

9. MUIGIZAJI WA KIKE KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
1. Elizabeth ‘Lulu’ Michael
2. Jacqueline Wolper
3. Shamsa Ford
4. Irene Uwoya
5. Wastara Juma

10. MUIGIZAJI WA KIUME KWENYE FILAMU ANAYEPENDWA
1. Jacob Stephen aka JB
2. King Majuto
3. Vincent ‘Ray’ Kigosi
4. Hemedy Suleiman
5. Salim ‘Gabo’ Ahmed

11. FILAMU INAYOPENDWA
1. Foolish Age – Elizabeth Michael
2. Bado Natafuta – Salim Ahmed, Shamsa Ford
3. Shikamoo Mzee – JB, Shamsa Ford, Majuto
4. Ndoa Yangu – Kanumba, Wolper
5. Zawadi Yangu – JB, Irene Uwoya

Kupiga kura katika Tuzo za Watu bonya hii link http://tuzozetu.com/vote/
Ili kupata ufafanuzi wa kina na jinsi ya kupiga kura kwa kutumia simu bofya hapa http://www.bongo5.com/tuzo-za-watu-zazinduliwa-rasmi-wasanii-wa-muziki-filamu-na-watangazaji-wa-radio-na-tv-kutuzwa-02-2014/

No comments:

Post a Comment