Sunday, May 25, 2014

KILL TOUR YAFANA SANA MJINI MOSHI


k20Ni show ambayo ilifanyika kwenye uwanja wa Ushirika Moshi Kilimanjaro na kuhudhuriwa na idadi kubwa ya watu wa nguvu wanaosupport bongofleva kuona list ya wakali akiwemo Ommy Dimpoz, Ney wa Mitego, Profesa Jay, WEUSI, Ay na FA,
 Prof Jay  ,Kavishe na Wadau wengine.
 Weusi  wakiamsha amsha kwenye stage....
 G-Nako ..


 Mwana Fa..
 Hevy weight Mc..
 Dimpoz kwa poz..Mzee wa tupogo..

 Weusi ,Ay, Prof jay..


 Crown ilikiwa imejaa vibaya..

k1Picha naShafiq 

No comments:

Post a Comment