Friday, March 28, 2014

MVUA YALETA ADHA KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM HASA BARA BARA KUJAA MAJI

Screen Shot 2014-03-28 at 4.45.29 PM
 Vijana wanafanya jitihada ilikulitoa gari lililokwama kwenye dimbwi la maji

Ukimuuliza mwenyeji yeyote wa Dar es salaam  ni sehemu gani anazozijua wanakaa watu wenye uwezo wa kifedha na hata baadhi ya viongozi wakubwa wa Serikali, basi lazima atakutajia na Mikocheni.
Pamoja na hilo, Mikocheni ni moja ya maeneo yanayojaa maji sana kipindi cha mvua Dar es salaam kama ambavyo unaona kwenye baadhi ya picha ya juu na hii inayofata hapa chini.
Sehemu nyingine ambazo zipo kwenye hizi picha hapa chini ni pamoja na Kinondoni na Kijitonyama.

  Screen Shot 2014-03-28 at 4.45.37 PM 
maeneo mengi kwa watembea kwa miguu walishindwa kutoka au kuingia kwenye maeneo 
 mengi kwani mfumo wa miundombinu hasa mitaro ya mji ni mibovu. 

 Screen Shot 2014-03-28 at 4.45.12 PM 
 Gari la polisi laingia kwenye mtaro watu wana fanya jitihada ya kulitoa
  Screen Shot 2014-03-28 at 4.45.04 PM 
Hali ilikuwa tetesana hasa kwa magari madogo, bajaji na bodaboda


No comments:

Post a Comment