Friday, March 28, 2014

MSANII WA KIZAZI KIPYA H.BABA AKUTWA AKIWA AMEMBEBA MTOTO WAKE MGONGONI KITAANI




Mwanamuzi Maarufu wa Bongo Flava H-Baba Hivi Karibuni amekutwa amembeba mtoto wake mgogoni
kwa kutumia mbeleko kama wabebavyo wamama huku akiwa hana habari na mtu alipoulizwa alisema yeye anapenda kumsaidia mke wake (Flora Mvungi ) Kulea mtoto kwani ni Jukumu lao wote wawili......

No comments:

Post a Comment