Saturday, March 29, 2014

KANGI LUGOLA ,DEO PHILIKUNJOMBE, ESTHA BULAYA WATOFAUTIANA NA MSIMAMO WA CHAMA CHAO


Kangi Lugola

Deo Filikunjombe

Estha Bulaya
Ukiangalia sifa ambazo huwanyanyua watu kufikia umaarufu mkubwa kisiasa, huwa mara nyingi sio kulilia vyeo bali kuwa na misimamo yakinifu, tena bila uoga, mifano ya watu hawa ni kama Nelson Mandela (RIP), Mahatma Gandhi NK. Kwa upande wetu kuana wabunge kama vile Kangi Lugola,Deo Philikunjombe na Estha Bulaya wamekuwa na misamamo inayoweza kupimwa katika mizania ya kisiasa, kama ya mwanasiasa yakinifu. Hajali katoka chama gani, lakini ameweza kukemea kuvunjwa kwa katiba ya JMT na kuonyesha kuunga hutuba makini ya Jaji Warioba bila kujali msimamo wa chama ,  na kusahau maslahi ya Taifa. Kwa  hawa hali imekuwa tofauti wamekataa. Wote wanapendekeza serikali tatu vivilevile kura ya siri

No comments:

Post a Comment