Friday, March 28, 2014

MH EDWARD LOWASA AMUAGA MKUU WA MKOA WA MARA


photo
Waziri Mkuu mstaafu na mbunge wa Monduli Mh Edward Lowassa akiwasili katika viwanja vya Mwalimu Nyerere kumuaga mwili wa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John G Tuppa Mungu ailaze roho ya marehem pema peponi aman.Pembeni ni mbunge wa Mwibara Kangi Lugola

No comments:

Post a Comment