Saturday, March 29, 2014

DIMOND ACHAGULIWA KWENYE TUZO ZA KORA ANAOMBA KURA YAKO



 
Tuzo kubwa za Afrika,KORA zimewadia..na Dimond amechaguliwa na wasanii wengine wa Africa  ...hivyo basi kama wewe ni  mpenzi na shabiki wa Music wa Diamond  muwezeshe kushinda kwa kumpigiakura  ingia katika Facebook page yao ambayo ni "Kora Awards" kisha Katika kila post niliyoshiriki Comment kwa kuandika jina Diamond Platnumz

 
Hawa ni baaz ya wasanii kkutoka nchi mabali mbali za Africa walio chaguliwa kazi ni kwako kutoa support kwa nchi yako.

No comments:

Post a Comment