Monday, June 1, 2015

WAZIRI NYALANDU KUCHUKUA FOMU YA URAISI KUPITIA CCM JUN 7 MJINI DODOMA



Mpiga picha wa Chanell ten Arusha Aristrides Dotto na Elia Mbonea mwandishi wa gazeti la Mtanzania wakifanya mahojiano na Waziri wa mali asili na utalii Lazaro Nyarandu mara baada ya ibada ya jumapili katika Kanisa la KKKT Diyoyosis ya Mjini kati ambapo Waziri Nyarandu alitumia nafasi hiyo kutangaza rasmi siku atakayochukua fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya kuwania Urais kupitia chama cha Mpindunzi.

Waziri wa mali asili na utalii Lazaro Nyarandu na waumini mbalimbali baada ya Ibada ya jumapili Jijini Arusha katika Kanisa la KKKT Diyoyosis ya Mjini Kati ambapo Waziri Nyarandu alitumia nafasi hiyo kutangaza rasmi siku atakayochukua fomu ya kuwania nafasi ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya kuwania Urais kupitia chama cha Mpindunzi .

No comments:

Post a Comment