Naibu katibu Mkuu Zanzibar Mhe Salimu Mwalimu akiongea na Wajumbe wa baraza la uongozi wa kanda ,na kufafanua majukumu na utekelezaji wa kanda kaitika ujenzi wa chama
Mhe Freeman A.Mbowe akiwa hutubia wajumbe wa baraza la kanda pamoja na waandishi wa habari, akifafanua baadhi ya mambo ambayo yanaendendea katika nchi yetu kwa sasa, pia akiitaka tume kuwa na msimamo wa siku na tarehe ya kuanza zoezi la uandikishaji wa Wanachi kwenye daftari la kupiga kura
No comments:
Post a Comment