Saturday, February 21, 2015

MEZ B KUZIKWA JUMATATU MAKABURI YA WAHANGA DODOMA

Mez B akiwa katika moja ya mahojiano yake na kituo cha TV.


Marehemu, Mez B akiwa studio enzi za uhai wake.
ALIYEKUWA memba wa kundi la Chamber Squad, Moses Bushagama ‘Mez B’ ambaye amefariki jana mjini Dodoma anatarajiwa kuzikwa Jumatatu katika makaburi ya Wahanga yaliopo Maili Mbili mjini Hapo. Mtandao huu uliongea na mama wa marehemu, Marry Mkandawile ambaye alisema kuwa kwa sasa msiba upo maeneo ya Kisasa mjini hapo.

No comments:

Post a Comment