Tuesday, January 13, 2015

RONALDO MWANASOKA BORA WA DUNIA 2014



Mchezaji wa Real Madrid na timu ya Taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo akiwa na tuzo ya Ballon d'Or baada ya kutangazwa na FIFA kuwa Mwanasoka Bora wa mwaka 2014.

No comments:

Post a Comment