Friday, November 28, 2014

MAXCOM AFRIKA YATIMIZA MIAKA MITANO, YABADILI MUONEKANO WA HUDUMA YAO YA MAX MALIPO

 Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya Kitanzania ya MaxCom Africa, inayotoa huduma za Max Malipo, Juma Rajabu na Mwakilishi wa Manispaa ya Kinondoni, Richard Chagula wakikata utepe kuzindua muonekano mpya wa huduma ya Max Malipo, katika hafla iliyokutanisha uongozi wa kampuni hiyo ya Jukwaa la Wahariri, leo katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam
 
 Mkurugnezi Mtendaji wa Kampuni ya  MaxCom Africa, Juma Rajabu (wapili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau mwishoni mwa mazungumzo yaliyofanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam, leo. Watatu kushoto ni Katibu wa Jukwaa la Wahariri Nevile Meena

 Mkurugenzi Mtendaji wa MaxCom Afrika akiwa ameketi meza kuu na wadau
 Baadhi ya viongozi wa Maxcom Afrika katika hafla hiyo

No comments:

Post a Comment