Wednesday, July 23, 2014

B12 ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE KWA KUTOA MSAADA KWENYE KITUO CHA WATOTO YATIMA


64bdzKutoka Team XXL ya Clouds Fm July 22 amezaliwa Hamis Mandi aka B12 au B Bozen ambapo Jumanne ameamua kusherehekea siku yake huu muhimu kwa kufuturu na watoto yatima.
Hii ni mara ya nne mastar wa Tanzania kufuturisha alianza Diamond,akafata Shilole kisha ikafuata futuru iliyoandaliwa na THT kisha Dr Cheni kwenye kusherehekea Birthday yake na sasa ni B12.
Hizi ni baadhi ya picha za shughuli ilivyokuwa.



75bdz
Soudy brown akilishwa keki na B Dozen.
59bdz
Shilole akiwa kambeba mmoja kati ya watoto Yatima hao.
67bdz
Bob Junior akila keki.
70bdz

22bdz
B Dozen na Nuh Mziwanda.
12bdz


No comments:

Post a Comment