Saturday, March 7, 2015

NMB IMEPATA PATA MKURUGENZI MPYA

2

Benki ya NMB imemkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wao mpya, Ineke Bussemaker ambaye anachukua nafasi ya Mark Wiessing ambaye amepangiwa kituo kingine cha Kazi ndani ya Benki ya Rabobank iliyopo Brazil.
1
Mkurugenzi mpya wa NMB, Ineke Bussemaker akisalimiana na   naibu gavana wa benki kuu ya Tanzania, Juma Reli
3
.

  Menejiment ya NMB, Bodi ya Wakurugenzi ya NMB wakiwa na Mark Wiessing

No comments:

Post a Comment