Sunday, March 22, 2015

AFANDE SELE NAYE AJIUNGA RASMI NA ACT


 
Zitto Kabwe, Afande Sele wakiwa na baadhi ya wanachama wapya wa ACT-Tanzania.

MSANII mkongwe wa Bongo Fleva nchini, Seleman Msindi 'Afande Sele' naye amejiunga rasmi na chama cha ACT-Tanzania.

Afande Sele akiongea na wanahabari (hawapo pichani) katika ukumbi wa mikutano ndani ya Hoteli ya Serena, Dar.
Afande Sele ambaye alikuwa mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amejiunga na ACT-Tanzania leo wakati wa mkutano na wanahabari uliofanyika katika Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.…

No comments:

Post a Comment