Sunday, February 8, 2015

MKULIMA WA KATAVI ALIYEJISHINDIA MILIONI 10 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE


Hayawi hayawi yamekuwa Haynes Peter Kanumba (20) ambaye ni mshindi wa Milioni 10/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, akiwa mwenye furaha baada ya kukabidhiwa kitita chake na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu (hayupo pichani) wakati wa hafla fupi iliyofanyika mkoani Katavi.Ili mteja kujua kama umeshinda unatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Mshindi wa kitita cha Shilingi Milioni 10/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hynes Kanumba ambaye ni mkazi wa Inyonga Wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki ya NMB tawi la Mpanda baada ya kukabidhiwa fedha zake na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu (kulia) Hafla hiyo ilifanyika katika tawi hilo mkoani humo. Ili kujua mteja kama umeshinda tuma neno Jay kwenda 15544.

Meneja wa benki ya NMB mkoa wa Katavi Erick Luanda akimuonyesha taarifa za fedha ya benki (bank statement) Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 10/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania , Hynes Kanumba mkazi wa Inyonga Wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi(wapili toka kushoto) wanao shuhudia ni Meneja mauzo wa Vodacom kanda ya Kusini Petro Chinyama(kusho) na Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo Matina Nkurlu(kulia)Ili kujua mteja kama umeshinda tuma neno Jay kwenda 15544.

Mshindi wa kitita cha shilingi Milioni 10/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hynes Kanumba ambaye ni mkazi wa Inyonga Wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi akiwa anaondoka na mtoto wake mgongoni baada ya kukabidhiwa kitita chake rasmi na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu(hayupo pichani) kwenye ofisi za benki ya NMB tawi la Mpanda mkoani humo mwishoni mwa wiki. Ili mteja kujua kama umeshinda tuma neno Jay kwenda 15544.

Mshindi wa Milioni 10/- kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, Hynes Kanumba mkazi wa Inyonga Wilaya ya Mpanda mkoa wa Katavi akipongezwa kwa kupigiwa makofi na Meneja Uhusiano wa Vodacom Matina Nkurlu (kulia) Meneja Mauzo wa kampuni hiyo wa kanda za juu kusini na Meneja wa NMB mkoa wa Katavi Erick Luanda,mara baada ya kumkabidhi kitita chake wakati wa hafla fupi iliyofanyika mkoani Katavi mwishoni mwa wiki.Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu(kulia) akimkabidhi kitita cha shilingi Milioni 10/- Hynes Kanumba ambaye ni mkulima mkazi wa Inyonga mkoa wa Katavi,alizojishindia kupitia promosheni ya JayMillions inayoendeshwa na Vodacom Tanzania, wakati wa hafla fupi iliyofanyika katika tawi la NMB Mpanda mkoani Katavi mwishoni mwa wiki. Wanaoshuhudia katika picha kutoka kushoto ni Meneja wa NMB mkoani humo Erick Luanda,Meneja mauzo wa kampuni hiyo wa Kanda za juu kusini Petro Chinyama . Ili mteja kujua kama ameshinda anatakiwa kutuma neno Jay kwenda 15544.

MKULIMA WA KATAVI ALIYEJISHINDIA MILIONI 10 ZA VODACOM AKABIDHIWA KITITA CHAKE
-Ni kupitia promosheni ya JayMillions
-Bilioni 24.3 zawasubiri wateja

No comments:

Post a Comment