Wednesday, November 26, 2014

TASWIRA KUTOKA BUNGENI BAADA YA KIKAO KUAHIRISHWA LEO ASUBUHI

 
Mwenyekiti wa Bunge, Mh. Mussa Azan Zungu akiongozwa na Mpambe wa Bunge kutoka kwenye ukumbi wa Bunge wakati alipositisha kikao cha Bunge cha asubuhi leo na kuahidi kujibu miongozo yote katika kikao cha jioni huku akisema bunge halijapokea barua yoyote kwa mjadala wa Escrow kukatazwa kujadiliwa bungeni.
 
 
 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Mbunge wa Urambo, Mh. Samuel Sitta…

No comments:

Post a Comment