


Ukiachilia mbali wasanii waliokuwa wakitajwa kwenye matangaazo kulikuwa na SAPRAIZ nyingine kwenye jukwaa la Fiesta,Mwanza walimuona Jokate akiimba kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa na kushangiliwa sana kutokana na alivyoifanya show hiyo.
Ratiba ya Serengeti fiesta baada ya Mwanza ni wakazi wa Bukoba na Kahama itakua zamu yao kuonja utamu wa Serengeti Fiesta na kwa miji hii miwili itakua ndiyo mara ya kwanza wanaiona,kwa Bukoba ni August 15 wakati Kahama ni August 17.
Hizi ni baadhi ya picha za usiku huu ulivyokuwa.
Ratiba ya Serengeti fiesta baada ya Mwanza ni wakazi wa Bukoba na Kahama itakua zamu yao kuonja utamu wa Serengeti Fiesta na kwa miji hii miwili itakua ndiyo mara ya kwanza wanaiona,kwa Bukoba ni August 15 wakati Kahama ni August 17.
Hizi ni baadhi ya picha za usiku huu ulivyokuwa.

















































































No comments:
Post a Comment