Sunday, August 10, 2014

JINSI FIESTA ILIVYOFANYIKA MWANZA NI SHIIIIIDAAA!!!!!!!!


Mwanza umekua ndiyo mkoa wa kwanza kufungua shamra shamra hizi za Fiesta kwa mwaka 2014 ambapo on stage zaidi ya wasanii 15 walipata nafasi ya kushow love na wakazi wa Mwanza kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Inawezekana show hii ikaingia kwenye list ya miongoni mwa show zilizowahi kuhudhuriwa na wakazi wengi sana wa jiji hili la Mwanza kwa sababu nilipata taarifa kuwa ilipofika saa 5 tu usiku tiketi zote zilikuwa zimeisha.

 
Ukiachilia mbali wasanii waliokuwa wakitajwa kwenye matangaazo kulikuwa na SAPRAIZ nyingine kwenye jukwaa la Fiesta,Mwanza walimuona Jokate akiimba kwa mara ya kwanza kwenye jukwaa na kushangiliwa sana kutokana na alivyoifanya show hiyo.

Ratiba ya Serengeti fiesta baada ya Mwanza ni wakazi wa Bukoba na Kahama itakua zamu yao kuonja utamu wa Serengeti Fiesta na kwa miji hii miwili itakua ndiyo mara ya kwanza wanaiona,kwa Bukoba ni August 15 wakati Kahama ni August 17.

Hizi ni baadhi ya picha za usiku huu ulivyokuwa.













































































































































































No comments:

Post a Comment