RICHARD KAMNDE

ANIMATION HEADER

Pages

  • Home
  • ELIMU
  • MITINDO
  • MICHEZO
  • SIASA
  • UJENZI NA MAISHA
  • JOB VACANCE
  • BURUDANI

Tuesday, July 8, 2014

WANANCHI WAFURAHI KUMUONA RAIS KIKWETE AKIJUMUIKA NAO KWENYE MAONESHO YA SABASABA

Rais Jakaya Mrisho Kikwete alitembelea kwa mara ya pili maonesho ya kimataifa ya bishara katika viwanja vya Mwalimu Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam, baada ya ratiba yake kutokamilika katika ziara yake aliyoifanya siku ya Jumamosi kutokana na muda. Na kama ilivyo ada wananchi walifurahi kuwa naye karibu kama ambavyo yeye pia alifurahi kujumuika nao kwenye maonesho hayo ya kila mwaka. Watoto ndio waliokuwa wakimvutia zaidi Rais Kikwete ambapo kila mara alisimama na kuwasalimia.




Labels: Habari, MATUKIO
Posted by Unknown at 11:08 PM
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

RICHARD KAMNDE

Unknown
View my complete profile

WASILIANO NAMI KUPITIA

WASILIANO NAMI KUPITIA
Simu; +255 763073633,0784824070 B/Pepe: richardkamnde@yahoo.com

SIKILIZA CLOUDS FM


Stream videos at Ustream

CHARTING ROOM: ACHA UJUMBE WAKO UTAJIBIWA

NCHI ZILIZOTEMBELEA BLOGU HII


widgeo.net

WATU WALIOTEMBELEA KUTOKA NCHI MBALIMBALI DUNIANI

IDADI YA WALIOTEMBELEA BLOG HII

HALI YA HEWA


bloguez.com

BLOG ZA JAMII

  • Mdimu's Blog
    Japan yaonesha nia kujenga mio\undombinu ya kisasa Dodoma
  • Arusha255 Blog
    Mwenyekiti wa Mtaa Sombetini Arusha (CHADEMA) Amzawadia Mkazi Wake Nauli ya Kurudi Kijijini Baada ya Maisha ya Mjini Kuwa Magumu
  • TANZANIA ONE
    SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE!
  • D'JARO ARUNGU
    Bondia Mohamed Matumla Ashinda Pambano la Ngumi Dhidi ya Mchina Wang Xin Hua Jana
  • DINA MARIOS (DM)
    PICHA ZA DADA DINA CARE'S FOUNDATION WAKITEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA VETERANI

BLOGS ZA KIKRISTO TANZANIA [CHRISTIAN BLOGS]

  • RUMAFRICA
    🔴#LIVE - IBADA YA JUMAPILI ----30-MARCH-2025 -
    3 months ago
  • Gospel Kitaa™
    MR & MRS ELIEZER MANGWELA #NIKUONE - Ambatana nasi kwenye ukurasa wetu wa facebook kwa habari zaidi. www.facebook.com/gospelkitaa
    8 years ago
  • ROSE MUHANDO GOSPEL SINGER FROM TANZANIA
    MCH. NOAH LUKUMAYI WA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI B AHUBIRI JUU YA "UMECHAGULIWA KUWA MSHINDI" - Ibada hii ilifanyika siku ya Jumapili 30/08/2015 katika kanisa hili takatifu ambapo mtumishi wa Mungu Mch. Noah Lukumayi aliweza kuhubiri Neno la Mungu j...
    9 years ago
  • Uncle Jimmy
    SAFARI HII SI YA KUKOSA ZANZIBAR -
    9 years ago
  • MESS JACOB CHENGULA
    IFANYE MALI YAKO KATIKA MAKTABA YAKO-HESHIMA NA UTUKUFU-MESS JACOB - Chukua time yako kutazama video ya Mess Jacob "Heshima na Utukufu" moja kati ya nyimbo inayofanya vizuri kupitia mitandao ya kijamii.Kwa hisani ya Mess Ja...
    10 years ago
  • NEEMA GASPA GOSPEL SINGER
    JIUNGE NA CHAMA CHA MUZIKI WA INJILI TANZANIA KWA KUTIMIZA VIGEZO VIFUATAVYO -
    10 years ago
  • Jesus Vision
    Mchungaji wa Kanisa afumaniwa na mke wa mtu - TOFAUTI na inavyoaminika na wengi kuwa watumishi wa Mungu ni watu safi, safari hii Mchungaji Obed Ntimba wa Kanisa la Anglikana Gongo la Mboto, Dar es Sal...
    11 years ago
  • TANZANIA GOSPEL SINGER UPENDO KILAHIRO OWNER OF NEW DAY FOOUNDATION
    NEW DAY AFRICA FOUNDATION KUFANYA MAAFALI YA KWANZA SIKU YA JUMAMOSI - Siku ya jana ya Jumamosi kulikuwa na maafali ya kwanza ya wanafunzi waliokuwa wanahitimu mafunzo ya ushonaji katika chuo cha *NEW DAY AFRICA FOUNDATION*...
    12 years ago
  • God Is Able
    Karibuni - Yesu Anaponya
    16 years ago

Blog Archive

  • September (1)
  • June (11)
  • April (5)
  • March (12)
  • February (16)
  • January (21)
  • December (22)
  • November (22)
  • August (5)
  • July (42)
  • June (32)
  • May (49)
  • April (131)
  • March (122)
  • February (22)

Popular Posts

  • WANASOKA KUMI BORA WANAO ONGOZA KWA FEZA NYINGI DUNIANI
    Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo jana (March 10) alitajwa kuwa ndiye mchezaji wa mpira wa miguu mwenye utajiri mkubwa zai...
  • MESS ANAONGOZA KWA KULIPWA HELA NYINGI DUNINIANI AMZIDI RONALDO
    Haya ndio majina makubwa zaidi kwenye soka kwa sasa.. Ushindani ni mkubwa huku wengine wakivutana kuufikia muafaka, eti nani mkali kuliko...
  • HII YA DIAMOND KULALA NA MAMA YAKE MZAZI CHUMBA KIMOJA NI HATARI.
      Nimekutana na Hii Screen Shot ya Gazeti hilo hapo juuu mpaka it almost made me choke on my water. Eti wasingekuwa MATAJIRI bila kufanya...
  • ALI KIBA KUZINDUA NYIMBO MBILI MPYA MWANA NA KIMASOMASO
    Mkali wa Bongo Fleva, Ally Saleh ‘Ali Kiba’ Kiba ambaye ni mkongwe kunako muziki wa Bongo Fleva, amefunguka yeye siku zote ni staa na h...
  • MBIO ZA RIZIWANI KIKWETE KUSAKA UBUNGE ZAANZA CHALINZE
    Meneja wa Kampeni za Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),Ndg. Steven Kazidi (kushoto) akimui...
  • HAWA NDO WASANII WA HIP HOP WENYE PESA NDEFU DUNIANI MWAKA 2014..HAWAI HAPA
    Listi maarufu sana ya wasanii wa Hiphop wenye pesa nyingi hatimaye imetoka tena kwa mwaka 2014 na sura zik i wa zilezile lakini kuna waliop...
  • NAFASI MPYA ZA KAZI KUTOKA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA (TRA) MWEZI APRIL 2014
    Tanzania Revenue Authority Jobs , April 2014 Tanzania Revenue Authority (TRA) was established under the Tanzania Revenue Authority Act No....
  • DIAMOND ACHAGULIWA KWENYE TUZO ZA BET MAREKANI MWAKA 2014
    Ilikua stori kubwa pale Diamond Platnumz alipotangazwa kushiriki kwenye tuzo za MTV Base (Mama Awards) kikiwa ni kituo kingine kiku...
  • REGNALD MENGI AFUNGA NDOA NA JACKLINE NTUYABALIWA
        Ndoa imefungwa miezi minne baada ya Reginald Mengi kumchumbia Jackline Dubai kwenye siku ya kuzaliwa ya mrembo huyu December 2...
  • PICHA ZA MAANDALIZI YA VIDEO MPYA YA ALLY KIBA SOUTH AFRIKA
    Ali Kiba staa mwingine mkali wa muda mrefu kwenye Bongo Fleva… Hit ya Chekecha Cheketua ni moja ya ngoma ambazo mtaani wanaisubiri video ya...

BLOG DESIGNER

BLOG DESIGNER
RumAfrica: www.rumaafrica.blogspot.com | +255 715 851523 | rumatz2012@gmail.com
Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.