Friday, July 25, 2014

PINDA AFUNGUA MKUTANO WA BRN PIA AWASILI NAIROBI KUMWAKILISHA KIKWETE MKUTANO WA MAZIWA MAKUU




 

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Katibu Mkuu, Kiongozi, Balozi Seif Sefue (kulia) na Mtendaji Mkuu wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Dr. Omari Issa baada ya kufungua mkutano wa Mawaziri na Makatibu Wakuu kuhusu BRN kwenye ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam Julai 24, 2014.

 

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimana na baadhi ya watumishi wa ubalozi wa Tanzania nchini Kenya baada ya kuwasili wenye uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Julai 23, 2014 kumwakilisha Rais Jakaya Kikwete katika mkutano maalum wa nchi za maziwa makuu kuhusu kupambana na tatizo la ajira kwa vijana unaotarajiwa kufanyiaka Julai 24, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment