Friday, May 9, 2014

KINANA AKAGUA UJENZI DARAJA LA MBUTU, IGUNGA MKOANI TABORA



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akipata maelezo kuhusu ujenzi wa daraja la Mbutu, wilayani Igunga, leo Mei 9, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kuimarisha uhai wa chama na kusikiliza kero za wananchi mkoani Tabora. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akishuka, baada ya kukagua ujenzi wa daraja la Mbutu, wilayani Igunga, leo Mei 9, 2014, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kuimarisha uhai wa chama na kusikiliza kero za wananchi mkoani Tabora. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akikagua sehemu ya ujenzi wa daraja hilo


Nape akitoka baada ya kukagua ujenzi wa daraja hilo
Picha zote na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment