Friday, April 18, 2014

HAYA NDIO MAWAZO YA WASICHANA WENGI WANAPOKUTANA NA WAVULANA KWA MARA YA KWANZA!!

 
 
1.Kwanza hutazama tembea yako, kisela au kiheshima ili wajue kama una kazi au la.

2.Kama nguo zako zimefubaa unatembea juani, kama hazijanyooshwa basi hata pasi kwako huna.

3.Kama viatu vina vumbi moja kwa moja gari huna.

4.Kama pesa hutoi kwenye waleti hujazoea kuwa na pesa tena yawezekana hata laki hujawahi kushika.


5.Kama hunukii vizuri basi wanawake huwajui vizuri, na hujui romance, hata hug hujawahi kupewa.

6.Kama hutunzi nywele zako hata zake hutazigharamia.

7.Ukiongea nae muda mrefu na maswali mengi, hata kama hujamtongoza, anajua umempenda.

8. Ukimshika au kumgusa popote kwenye maongezi basi unamtaka kimwili.

9.Kama mkanda wa suruali na viatu havimachi rangi, hujawa na mwanamke kwa muda mrefu.

10. Usipomtazama machoni, yawezekana muongo au hujiamini na unamuogopa.

11. Huangalia simu yako ya aina gani kama unatumia nokia tochi na yeye I phone 5s imekula kwako.

12. Husikiliza maongezi yako ya simu kama za madeal ya pesa ndefu basi we tapeli.

No comments:

Post a Comment