Friday, March 28, 2014

RAISI KIKWETE AZINDUA MRADI WA MAJI MUHEZA

 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwisha ndoo ya maji Bibi Rukia Bakari muda mfupi 
baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji cha Kwemhosi wilayani Muheza Mkoa wa Tanga Jana .Mradi huo utavinufaisha vijiji vinane katika wilaya hiyo yenye uhaba mkubwa wa maji

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua na kukagua bidhaa Soko la Vyakula Michungwani wilayani Muheza jana 

Hapa Raisi anachagua matunda

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua na kuzungumza na wafanyabiashara katika soko la Vyakula Michungwani Wilayani Muheza Mkoa wa Tanga jana .Rais Kikwete yupo katika ziara ya kikazi mkoa wa Tanga.Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments:

Post a Comment