Saturday, February 22, 2014

MSAFARA WA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA JIMBO LA KALENGA WAZUIWA NA POLISI IRINGA

Polisi mkoani Iringa wakiwa wameuzuia msafara wa mgombea ubunge jimbo la Kalenga, Bi Grace Tendega kupitia Chadema kwa madai hawakuwa na kibali cha kufanya maandamano hayo ya magari hapa ni eneo la lango la mji Samora ambapo msafara huo ulikuwa ukitokea maeneo ya Ndiuka kuelekea kwa msimamizi wa uchaguzi ili kuchukua fomu.


No comments:

Post a Comment